WATU 36 WAFARIKI KATIKA AJALI NCHINI PERU.

TAREHE 03-01-2018
A group of emergency personnel working to rescue victims after a passenger bus plunged off the Pan-American Highway North, about 45 kilometres from Lima, Peru, 02 January 2018.Haki miliki ya pichaEPA
Image caption
Watu wasiopungua 36 wamefariki baada ya basi walimokuwa wanasafiria kutumbukia kwenye korongo Kaskazini mwa mji mkuu wa Peru Lima.

Ripoti za vyombo vya habari vya ndani zinasema basi hilo liligongwa na lori wakati likipita kwenye eneo finyu la barabara kuu ya mji huo.


Barabara hiyo iliyopo katika mji wa Pasamyo, hughubikwa na ukungu mara kwa mara na kumetokea ajali mbalimbali nyingine,ambapo maafisa wamesema juhudi za uokozi zilizuwiwa na ukosefu wa barabara ya moja kwa moja kwenda ufukweni.
WATU 36 WAFARIKI KATIKA AJALI NCHINI PERU. WATU 36 WAFARIKI KATIKA AJALI NCHINI PERU. Reviewed by safina radio on January 03, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.