IMEBAINIKA KUWA KUTUMIA NENO LA MUNGU KISAWASAWA INAWEZA KUONDOA UMASIKINI


Imebainika kuwa neno la Mungu linapotumiwa sawasawa umasikini, magonjwa pamoja na nguvu za giza havitaweza kumsumbua mwanadamu.
Image result for PICHA YA BIBLIA


Huduma ya redio safina kesho katika ukumbi wa maombi  uliopo mbauda jijini Arusha kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa saba mchana imeakuandalia maombi maalum kwa ajili kurejesha uponyaji kwa watu wote.

Aidha maombi ya kesho ni maalum kwa ajili kurejesha uponyaji kwenye Nyanja mbalimbali za maisha ikiwemo ndoa, afya, elimu, biashara, kilimo, ufugaji pamoja na kudhibiti roho inayosababisha mauti, umasikini na madeni.

Pia somo hilo limelenga kuifahamisha jamii kuwa neno la Mungu likitumiwa sawasawa linaweza kuondoa matatizo sugu yaliyoshindikana katika shughuli mbalimbali kiroho na kimwili.


IMEBAINIKA KUWA KUTUMIA NENO LA MUNGU KISAWASAWA INAWEZA KUONDOA UMASIKINI IMEBAINIKA KUWA KUTUMIA NENO LA MUNGU KISAWASAWA INAWEZA KUONDOA UMASIKINI Reviewed by safina radio on May 16, 2018 Rating: 5

No comments