WATU 28 WAMEUAWA KWENYE MAJIMBO TOFAUTI TOFAUTI NCHINI AFGHANISTAN.


Watu 28 wameuawa kwenye majimbo tofau tofauti nchini Afghanistan kutokana na mashambulio yaliyofanywa na kundi la Taliban.


Katika mji wa Kandahar kusini mwa nchi hiyo watu 16 waliuawa baada ya kushambuliwa na mabomu na wengine wengi kujeruhiwa.

Wakati huo huo katika jimbo la Mashariki la Gasni maafisa wa usalama wapatao 12 waliuawa.

Taarifa zaidi za shirika la habari la Pajhwok zinasema mashambulizi hayo yanafanywa na kundi la Taliban ili kuonyesha bado lina uwezo.

WATU 28 WAMEUAWA KWENYE MAJIMBO TOFAUTI TOFAUTI NCHINI AFGHANISTAN. WATU 28 WAMEUAWA KWENYE MAJIMBO TOFAUTI TOFAUTI NCHINI AFGHANISTAN. Reviewed by safina radio on May 23, 2018 Rating: 5

No comments