MAANDAMANO ZAIDI YANATARAJIWA HUKO PALESTINA


Maandamano mapya dhidi ya Israel yanatarajiwa huko Palestina leo Jumanne, siku moja baada ya wanajeshi wa Israel kuwaua watu 58 na maelfu ya wengine katika ukanda wa Gaza.

Emergency services and Palestinians carry a wounded protestor during clashes with Israeli security forces near the border between Israel and the Gaza Strip, east of Jabalia on May 14, 2018



Mapambano hayo ya jana yalitokea wakati Marekani na Israel zikisheherekea ufunguzi wa ubalozi mpya wa Marekani katika mji unaogombaniwa wa Jerusalem.

Hatua ya kuuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Jerusalem imewakasirisha Wapalestina, wanaotegemea eneo hilo kuja kuwa mji mkuu wa taifa lao la baadae.

Rais wa Marekani Donald Trump ameieleza siku hiyo kama siku bora kwa taifa la Israel.

MAANDAMANO ZAIDI YANATARAJIWA HUKO PALESTINA MAANDAMANO ZAIDI YANATARAJIWA HUKO PALESTINA Reviewed by safina radio on May 15, 2018 Rating: 5

No comments