PUTIN KUWANIA TENA URAIS NCHINI URUSI
TAREHE 07-12-2017
Rais
Vladimir Putin wa Urusi ametangaza nia yake ya kuwania urais katika uchaguzi
utakaofanyika mwezi Machi mwaka ujao.
Putin mwenye umri wa miaka 65 ametangaza
kusudio lake hilo katika sherehe zilizohudhuriwa na wafanyakazi wa kiwanda cha
magari cha Nizhny Novgorod na kusema Urusi itatatua kila tatizo na kuwa itapiga
hatua ikiwa chini ya uongozi wake.
Hata
hivyo rais Putin anapewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi huo wa mwakani.
PUTIN KUWANIA TENA URAIS NCHINI URUSI
Reviewed by safina radio
on
December 07, 2017
Rating:

No comments