ALSHABAAB WAMEISHAMBULIA KAMBI YA JESHI KATIKA MJI WA BARIRE NCHINI SOMALIA.
TAREHE 29-09-2017
Shambulio hilo limetokea leo Ijumaa majira ya alfajiri ambapo wakaazi wa maeneo hayo wanasema waliamshwa na sauti za milipuko miwili mikubwa.
Kundi la Alshabaab limekiri kuhusika na shambulio hilo na limeeleza kwamba liliidhibiti kambi ya jeshi la Somalia na kufanikiwa kuwaua wanajeshi kadhaa.
Hata hivyo maafisa wa serikali katika eneo hilo wamekana tuhuma hizo za Alshabaab, lakini wakakiri kwamba kumekuwa na shambulio.
Kambi hiyo ya jeshi mjini Barire katika eneo la Lower Shabelle ni mojawapo ya kambi zilizo bora na zenye vifaa vya hali ya juu vya kijeshi nchini Somalia
![]() |
WANAMGAMBO WA ALSHABAAB |
Shambulio hilo limetokea leo Ijumaa majira ya alfajiri ambapo wakaazi wa maeneo hayo wanasema waliamshwa na sauti za milipuko miwili mikubwa.
Kundi la Alshabaab limekiri kuhusika na shambulio hilo na limeeleza kwamba liliidhibiti kambi ya jeshi la Somalia na kufanikiwa kuwaua wanajeshi kadhaa.
Hata hivyo maafisa wa serikali katika eneo hilo wamekana tuhuma hizo za Alshabaab, lakini wakakiri kwamba kumekuwa na shambulio.
Kambi hiyo ya jeshi mjini Barire katika eneo la Lower Shabelle ni mojawapo ya kambi zilizo bora na zenye vifaa vya hali ya juu vya kijeshi nchini Somalia
ALSHABAAB WAMEISHAMBULIA KAMBI YA JESHI KATIKA MJI WA BARIRE NCHINI SOMALIA.
Reviewed by safina radio
on
September 29, 2017
Rating:

No comments