KIONGOZI WA UPINZANI NCHINI KENYA, RAILA ODINGA AMETANGAZA KUWA MUUNGANO WA NASA UTASHINIKIZA MAGEUZI KATIKA TUME YA UCHAGUZI IEBC





TAREHE 18 -09-2017

KIONGOZI  WA UPINZANI   NCHINI   KENYA RAILA ODINGA 



Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga ametangaza kuwa muungano wake wa NASA utaendesha kampeni nchi nzima kushinikiza kufanyika mageuzi katika tume ya uchaguzi, IEBC, akitaka  maafisa wa tume hiyo kuondolewa.

Odinga amesisitiza kuwa tume hiyo lazima ifanyiwe mageuzi kabla hajashiriki katika uchaguzi wa marudio, huku Rais Kenyatta akisema tume hiyo haitakiwi kubadilishwa.

Hata hivyo licha ya mahakama ya juu nchini Kenya kugundua kuwepo kwa udanganyifu katika uchaguzi huo, haikuwaondoa maafisa wa tume hiyo ambapo uchaguzi mkuu wa marudio umepangwa kufanyika octoba 17 mwaka huu. 







KIONGOZI WA UPINZANI NCHINI KENYA, RAILA ODINGA AMETANGAZA KUWA MUUNGANO WA NASA UTASHINIKIZA MAGEUZI KATIKA TUME YA UCHAGUZI IEBC KIONGOZI  WA  UPINZANI  NCHINI  KENYA,  RAILA  ODINGA  AMETANGAZA  KUWA   MUUNGANO  WA  NASA   UTASHINIKIZA  MAGEUZI  KATIKA  TUME  YA  UCHAGUZI    IEBC Reviewed by safina radio on September 18, 2017 Rating: 5

No comments