WATU SABA WATIWA MBARONI NCHINI UGANDA
![]() |
WAANDAMANAJI JIJIJNI KAMPALA |
Katiba ya sasa inasema kikomo cha umri wa
urais ni miaka 75.
Mabadiliko ya katiba yatamruhusu rais
Yoweri Museveni kugombea tena urais mwaka 2021.
Umri halisi wa rais Museveni haufahamiki, lakini
mtandao mmoja wa kijamii unasema kuwa rais Yoweri Mseveni ana umri wa miaka 73
Wanaharakati vijana wa kundi linalojulikana
kama-The Alternative, ambao waliandaa maandamano hayo, wanasema ofisi yao
ilivamiwa jana na wanajeshi pamoja na polisi.
WATU SABA WATIWA MBARONI NCHINI UGANDA
Reviewed by safina radio
on
September 18, 2017
Rating:

No comments