Wanafunzi Laki Tisa Kumi Na Saba Elfu Wameanza Mitihani Yao Ya Kumaliza Elimu Ya Msingi Nchini Tanzania.
Amesema kuwa
mitihani hiyo itaanza leo na itakamilika siku ya kesho kwa wanafunzi kutoka
Tanzania bara na maandalizi yote yameshakamilika,ambapo pia ametumia nafasi
hiyo kuwataka baadhi ya watendaji wanaofanya ubabaishaji wa kuwalipa wasimamizi
wa mitihani posho zao kuacha tabia hiyo
mara moja na atakayebainika atachukuliwa hatua kali za kisheria.
![]() |
Wanafunzi Laki Tisa Kumi Na Saba Elfu Wameanza Mitihani Yao Ya Kumaliza Elimu Ya Msingi Nchini Tanzania.
Reviewed by safina radio
on
September 06, 2017
Rating:

No comments