KANSELA WA UJERUMANI, ANGEL MERKEL AMESEMA KUWA CHAMA CHAKE HAKITAEGEMEA SERA ZA MRENGO WA KULIA.
TAREHE 26-09-2017
Merkel amesema atajaribu kadiri awezavyo kurejesha Imani ya idadi kubwa ya watu ambayo walijisikia kutengwa.
Mafanikio ya chama cha mrengo wa kushoto cha AfD Kimekiacha chama chake Merkel,CDC bila kuwa na mshirika wa wazi kuunda serikali.
Merkel amesema alitaka kuunda serikali imara ambapo amezungumza na chama cha Liberals na Greens pamoja na Social Democrats ambao walijitoa kuungana kwa mara nyingine na Christian Democrats.
![]() |
ANGELA MERKEL |
Merkel amesema atajaribu kadiri awezavyo kurejesha Imani ya idadi kubwa ya watu ambayo walijisikia kutengwa.
Mafanikio ya chama cha mrengo wa kushoto cha AfD Kimekiacha chama chake Merkel,CDC bila kuwa na mshirika wa wazi kuunda serikali.
Merkel amesema alitaka kuunda serikali imara ambapo amezungumza na chama cha Liberals na Greens pamoja na Social Democrats ambao walijitoa kuungana kwa mara nyingine na Christian Democrats.
KANSELA WA UJERUMANI, ANGEL MERKEL AMESEMA KUWA CHAMA CHAKE HAKITAEGEMEA SERA ZA MRENGO WA KULIA.
Reviewed by safina radio
on
September 26, 2017
Rating:

No comments