MKURUGENZI MANISPAA YA TABORA ATAKIWA KUREJESHA VIWANJA
TAREHE 11-10-2017
Naibu Waziri wa ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi Mh Angelina Mabula amemwagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Bw John Bosco kurejesha viwanja mbalimbali kwa wamiliki ambavyo vimemilikishwa kwa watu binafsi.
Naibu Waziri wa ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi Mh Angelina Mabula amemwagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Bw John Bosco kurejesha viwanja mbalimbali kwa wamiliki ambavyo vimemilikishwa kwa watu binafsi.
Naibu Waziri huyo
ametoa agizo hilo kufuatoa wataalamu wa ardhi kukiuka madili ya kazi na kugawa
kiwanja kimoja kwa zaidi ya mtu mmoja na hivyo kutakiwa kutoa maelezo ya kina
kuhusiana na ukiukaji huo wa maadili ya kazi.
Kwa upande wake, Mkuu
wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry ametoa wito kwa watumishi waliogawa kiwanja
zaidi ya mtu mmoja kuchukuliwa hatua za kisheria.
MKURUGENZI MANISPAA YA TABORA ATAKIWA KUREJESHA VIWANJA
Reviewed by safina radio
on
October 11, 2017
Rating:

No comments