TANZANIA NA OMAN KUSHIRIKIANA KATIKA SEKTA YA UTALII
TAREHE 18-10-2017
Waziri wa
Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangala amesema kuwa Tanzania na nchi ya Oman
wamefanya mazungumzo ya pamoja ya namna ya kukuza sekta ya utalii kwa nchi hizo
mbili, ambapo watashirikiana katika mwingiliano wa watalii watakao kuwa
wakitokea moja kwa moja Oman kuja
Tanzania.
Dk.
Kigwangala amesema kuwa mpango huo ni pamoja na watalii wanaokwenda Oman na kutaka
kuja nchi za Afrika wataelekezwa moja
kwa moja Tanzania kwa kuwa nchi hiyo ina watalii wengi.
Awali Dk.
Kigwangala ametembelea meli ya kifahari ya Mfalme wa Oman Mh. Qaboos Bin Said iliyofika juzi katika Bandari ya Dar es salaam ikiwa katika
msafara wa kitaifa kati ya serikali ya Oman na Tanzania.
TANZANIA NA OMAN KUSHIRIKIANA KATIKA SEKTA YA UTALII
Reviewed by safina radio
on
October 18, 2017
Rating:

No comments