VIKOSI VYA UTURUKI VYAENDELEA NA OPERESHE NI NCHINI SYRIA
13-102017
Vikosi
vya majeshi ya Uturuki vimepiga hatua katika operesheni ya kijeshi nchini Syria
kutokomeza wapiganaji wa jimbo la Idlib.
Operesheni hiyo imeanza
siku ya jumamosi ambapo majeshi ya Uturuki yakisaidiana na yale ya Syrian
walifanikiwa kuvuka mpaka.
Rais wa Uturuki Recep
Tayyip Erdogan amesema hatavumilia vitendo vyovyote vya kigaidi katika eneo
lake.
Mgari ya Uturuki
yameonekana yakisindikizwa na makundi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na Al
Qaeda katika jimbo la Idlib,huku kundi la Tahrir al-Sham likimili maeneo karibu
na kambi ya majeshi ya Kikrud ambayo yanapigana dhidi ya IS.
VIKOSI VYA UTURUKI VYAENDELEA NA OPERESHE NI NCHINI SYRIA
Reviewed by safina radio
on
October 13, 2017
Rating:

No comments