Watu wanne wameuawa na wengine wanne wamelazwa hospitalini baada ya mlipuko ulioambatana na moto kuharibu jengo la ghorofa tatu katika mji wa Leicester nchini Uingereza.



MANCHESTER.

Watu wanne wameuawa na wengine wanne wamelazwa hospitalini baada ya mlipuko ulioambatana na moto kuharibu jengo la ghorofa tatu katika mji wa Leicester nchini Uingereza.

Chanzo cha mlipuko huo uliotokea usiku wa kuamkia leo hakijajulikana, lakini polisi wanasema kisa hicho hakihusishwi na ugaidi.

Wakaazi wa eneo hilo la mkasa wamesema majumba yao yalitikiswa na mlipuko huo uliosababisha moto mkubwa.

Afisa msimamizi wa eneo hilo Shane O’Neill amesema wanaamini huenda kuna watu ambao hawajapatikana na hivyo juhudi za uokozi zinaendelea.

Watu wanne wameuawa na wengine wanne wamelazwa hospitalini baada ya mlipuko ulioambatana na moto kuharibu jengo la ghorofa tatu katika mji wa Leicester nchini Uingereza. Watu wanne wameuawa na wengine wanne wamelazwa hospitalini baada ya mlipuko ulioambatana na moto kuharibu jengo la ghorofa tatu katika mji wa Leicester nchini Uingereza. Reviewed by safina radio on February 26, 2018 Rating: 5

No comments