WATU 17 WAUAWA KATIKA SHULE MOJA MOJA, FLORIDA, MAREKANI.
![]() |
Wanafunzi Florida wakiwa katika ukaguzi. |
Mshambuliaji huyo ambaye alikuwa amebeba bunduki ya kisasa, alianza kushambulia bila ya mpangilio nje ya shule hiyo kabla ya kushambulia ndani, hali ambayo ilisababish
Kamanda wa polisi katika eneo hilo, amesema mshambuliaji huyo kabla ya kushambulia alishafukuzwa shule kutokana na utovu wa nidhamu ambapo polisi wamesema kuwa tayari walimkamata karibu na mji wa jirani wa Coral Springs.
Shirika la Upelelezila la Marekani FBI limesema linashirikiana na polisi, kufanya uchunguzi tukio hilo.
Katika hatua nyingine, kupitia mtandao wake wa Tweeter, Rais Donald Trump amewaondoa hofu raia wa Marekani, kwa kusema kuwa usalama upo wa kutosha kwa mtoto,mwalimu na mwingine yoyote yule.
WATU 17 WAUAWA KATIKA SHULE MOJA MOJA, FLORIDA, MAREKANI.
Reviewed by safina radio
on
February 15, 2018
Rating:

No comments