Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi ametoa muda wa wiki moja kwa Halmashauri za wilaya mkoani humo kuhakikisha kuwa zinapata na kusambaza mabomba na sumu za kuulia wadudu wanaoshambulia zao la pamba.

TAREHE 28-02-2018


Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi ametoa muda wa wiki moja kwa Halmashauri za wilaya mkoani humo kuhakikisha kuwa zinapata na kusambaza mabomba na sumu za kuulia wadudu wanaoshambulia zao la pamba.


MKUU WA MKOA WA SINGIDA REHEMA NCHIMBI

Mkuu huyo wa mkoa ametoa kauli hiyo wilayani Iramba baada ya wakulima kulalamikia suala la ukosefu wa dawa na mabomba ya kupulizia sumu ya kuulia wadudu wanaoshambulia zao hilo.

Wakulima hao wamedai kuwa kabla ya kupata elimu hiyo hawakupata elimu sahihi kutoka kwa wataalamu na hivyo kusababisha mimea yao kuendelea kushambuliwa na wadudu licha ya kupulizia sumu ya kuulia wadudu hao.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi ametoa muda wa wiki moja kwa Halmashauri za wilaya mkoani humo kuhakikisha kuwa zinapata na kusambaza mabomba na sumu za kuulia wadudu wanaoshambulia zao la pamba.   Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi ametoa muda wa wiki moja kwa Halmashauri za wilaya mkoani humo kuhakikisha kuwa zinapata na kusambaza mabomba na sumu za kuulia wadudu wanaoshambulia zao la pamba. Reviewed by safina radio on February 28, 2018 Rating: 5

No comments