BOMU LA VITA YA PILI YA DUNIA YASITISHA SAFARI ZA NDEGE LONDON, UNGEREZA.
LONDON.
12 February, 2018.
![]() |
Uwanja wa ndege wa Uingereza. |
Uwanja wa ndege wa mjini London umefungwa baada ya bomu la vita vya pili vya dunia kupatikana kwenye mto ulio karibu wa Thames nchini humo.
Uwanja huo utafungwa
siku nzima na safari zote za ndege kufutwa, ambapo utawaathiri zaidi ya abiri
elfu kumi.
Bomu hilo
liligunduliwa siku ya Jumapili eneo la George wa (5) V wakati wa shughuli ya
kikazi mashariki mwa London.
Uwanja huo ukafungwa
nhuku polisi wakisema kuwa wanashirikiana na jeshi la wanamaji kuondoa bomu
hilo.
Abiria wameambiwa
wasisafiri kwenda uwanja huo na kushauriwa kuwasiliana na mashirika yao ya
ndege.
BOMU LA VITA YA PILI YA DUNIA YASITISHA SAFARI ZA NDEGE LONDON, UNGEREZA.
Reviewed by safina radio
on
February 12, 2018
Rating:

No comments