Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI Mh. Suleman Jaffo amemwagiza Afisa Maendeleo ya Vijana Wilaya ya Kisarawe kuandaa eneo maalum litakalotumika kujenga viwanda vidogo kuwezesha vijana hao kujiajiri.



PWANI.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI Mh. Suleman Jaffo amemwagiza Afisa Maendeleo ya Vijana Wilaya ya Kisarawe kuandaa eneo maalum litakalotumika kujenga viwanda vidogo kuwezesha vijana hao kujiajiri.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI Mh. Suleman Jaffo


Waziri Jaffo ametoa agizo hilo Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani katika shughuli maalum ya kugawa vifaa vya ufundi kwa vikundi vya vijana kutoka Kata za Kiluvya, Kurui na Marombo mkoni humo.

Aidha, Waziri Jaffo amesema kuwa suala la uatamizi ni muhimu kwa vijana waliokwisha kujindeleza hivyo inapaswa waangaliwe kwa karibu na uwezeshaji ili waendelee kuimarika katika shughuli zao kwa ajili ya kuondoa suala la kuwapoteza vijana hao katika tasnia yao.

Pia, Waziri Jaffo ameitaka Ofisi ya Mkurugenzi Wilaya hiyo kuvilea na kuviimarisha vikundi hivyo kimtaji kupitia asilimia tano za mapato ya ndani baada ya kunufaika na mradi wa kuwawezesha vijana kiuchumi wa YEE unaofadhiliwa na umoja wa Ulaya na kusimamiwa na Plan Internatinal.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi VETA Dk. Bure Ngazi ameiomba jamii isiwafiche vijana wenye mahitaji maalumu zinapotokea fursa za kuwawezesha.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI Mh. Suleman Jaffo amemwagiza Afisa Maendeleo ya Vijana Wilaya ya Kisarawe kuandaa eneo maalum litakalotumika kujenga viwanda vidogo kuwezesha vijana hao kujiajiri. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI Mh. Suleman Jaffo amemwagiza Afisa Maendeleo ya Vijana Wilaya ya Kisarawe kuandaa eneo maalum litakalotumika kujenga viwanda vidogo kuwezesha vijana hao kujiajiri. Reviewed by safina radio on February 26, 2018 Rating: 5

No comments