JESHI LA RWANDA LASEMA WANAJESHI WATATU WA DRC WAMEUAWA.
KIGALI.
Jeshi la Rwanda limesema kuwa
wanajeshi watatu wa Jamhuri ya Democrasia ya kongo DRC wameuawa kwenye mapambano
baada ya kushambulia kituo cha jeshi la Rwanda kwenye wilaya ya musanze
kaskazini mashariki mwa Rwanda.
Hatua hii imekuja siku chache baada ya
Jamhuri ya kidemokrasia ya kongo kushutumu kuwa wanajeshi wa Rwanda wamevamia
ardhi yake
siku ya jumatano.
siku ya jumatano.

Msemaji wa jeshi la demokrasia ya
kongo amesema mapigano makali yalizuka kati ya jeshi la DRC na wapiganaji wa
jeshi la Rwanda katika eneo la mlima Nikone kwenye jimbo la kivu kaskazini na
kuripoti tukio hilo kwa kundi la nchi za maziwa makuu.
Kwa upande wake Msemaji wa divisheni ya
pili ya jeshi la Rwanda Bw Eugen Nkubito amesema kuwa majeshi ya DRC
yameshambulia vikosi vyake katika kijiji cha iterambere jumanne asubuhi na
kuwaua wapiganaji watatu na kuwafukuza wengine.
JESHI LA RWANDA LASEMA WANAJESHI WATATU WA DRC WAMEUAWA.
Reviewed by safina radio
on
February 16, 2018
Rating:

No comments