KOREA KASKAZINI IMEFUTA MKUTANO WA SIRI ULIOTARAJIWA KUFANYIKA KATI YAKE NA MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI
PYONGYANG.
Korea Kaskazini imefuta mkutano wa siri uliotarajiwa
kufanyika kati yake na makamu wa rais wa Marekani Mike Pence wakati wa michezo
ya Olimpiki ya majira ya baridi ikiendelea nchini Korea Kusini.
![]() |
Nick Ayers |
Pence aliongoza ujumbe wa Marekani katika michezo
hiyo ya Olimpiki.
Pia Bw Pence Alisafiri na baba mzazi wa Otto
Warmbier ambaye mwanaye alifariki muda mfupi baada ya kuachiwa huru kutoka
kizuizini nchini Korea Kaskazini akiwa kwenye koma (yaani hali mbaya mahututi) ili
kuikumbusha dunia kuhusu mateso yanayofanywa nchini Korea Kaskazini.
KOREA KASKAZINI IMEFUTA MKUTANO WA SIRI ULIOTARAJIWA KUFANYIKA KATI YAKE NA MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI
Reviewed by safina radio
on
February 21, 2018
Rating:

No comments