MOURINHO KUZOZANA NA MABOSI WAKE

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anatarajiwa kuzozana na maafisa wakuu wa klabu hiyo kuhusu bajeti yake ya uhamisho
Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho
Image caption
Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anatarajiwa kuzozana na maafisa wakuu wa klabu hiyo kuhusu bajeti yake ya uhamisho huku joto la wasiwasi likipanda katika klabu hiyo, Paris St-Germain huenda ikamshawishi kuhamia Ufaransa. 
Mourinho ameamua kuhusu kuwanunua wachezaji wanne huku wachezaji saba katika kikosi chake cha sasa wakitarajiwa kuuzwa.
MOURINHO KUZOZANA NA MABOSI WAKE MOURINHO KUZOZANA NA MABOSI WAKE Reviewed by safina radio on March 15, 2018 Rating: 5

No comments