RAIS WA MYNMAR AJIUZULU
Taarifa iliyotolewa na ofisi ya Rais wa Myanmar inasema kuwa Rais wa nchi
hiyo Htin Kyaw amejiuzulu.
![]() |
RAIS WA MYNMAR HTIN KYAW KULIA |
Makamu wa rais Myint
Swe , jenerali wa zamani atakuwa kaimu rais hadi pale rais mpya
atakapochaguliwa katika muda wa siku saba sijazo, taarifa hiyo ilisema.
RAIS WA MYNMAR AJIUZULU
Reviewed by safina radio
on
March 21, 2018
Rating:
No comments