OPEC IMEENDELEA KUPUNGUZA UZALISHAJI WA MAFUTA NDANI YA MIEZI MITANO ILIYOPITA.
VIENNA
Jumuiya ya nchi zinazozalisha
mafuta OPEC imeendelea kupunguza uzalishaji wa mafuta katika miezi mitano
iliyopita.
Jumuiya ya nchi za OPEC. |
Ripoti iliyotolewa jana na OPEC inasema nchi
za OPEC zilizalisha mapipa milioni 32.19 ya mafuta kwa siku katika mwezi wa
Februari, kiasi ambacho kilipungua kwa mapipa elfu 77 kuliko mwezi Januari.
Ripoti hiyo pia imesema mahitaji ya mafuta
duniani yanaongezeka kutokana na kufufuka kwa uchumi wa dunia
OPEC IMEENDELEA KUPUNGUZA UZALISHAJI WA MAFUTA NDANI YA MIEZI MITANO ILIYOPITA.
Reviewed by safina radio
on
March 15, 2018
Rating:
No comments