AMISOM YAPOGEZA ASKARI WA UGANDA.


Tume ya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM jana imewapongeza askari wa Uganda kutokana na juhudi zao za kuhakikisha kuwa usalama na utulivu unakuwepo nchini Somalia na kukamilisha majukumu yao kwa bidii.

Image result for somalia amisom

Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Kamanda wa Vikosi vya AMISOM Bw. Salvator Harushimana ambapo amesema kuwa katika kipindi cha majukumu yao ya kulinda amani , askari wa Uganda wamefanya kazi kwa kujitolea na kwa njia za kitaaluma.

Hata hivyo, Bw. Harushimana amesema kuwa askari hao si kama tu wanawakilisha Uganda, bali pia ni fahari ya bara la Afrika.

AMISOM YAPOGEZA ASKARI WA UGANDA. AMISOM YAPOGEZA  ASKARI WA UGANDA. Reviewed by safina radio on April 18, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.