Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia uhalifu wa kivita ya mjini The Hague leo itaanza kusikiliza rufaa ya Radovan Karadzic


Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia uhalifu wa kivita ya mjini The Hague leo itaanza kusikiliza rufaa ya Radovan Karadzic aliyekuwa kiongozi wa Bosnia.

Image result for PICHA YA MAHAKAMA YA THE HAGUE
FATOU BENSOUDA MWENDESHA MASHTAKA MKUU MAHAKAMA YA ICC

Karadzic mwenye umri wa miaka 72 alihukumiwa mnamo mwaka 2016 adhabu ya kifungo cha miaka 40 jela baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya halaiki ya Sirebrenica na uhalifu wa kivita mnamo mwaka 1995.

Wakili wake Peter Robinson anataka hukumu mpya itakayozingatia haki,ambapo pia mwendesha mashtaka mkuu anapinga rufaa hiyo kwa sababu anaiona adhabu aliyopewa Karadzic ni ndogo.

Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia uhalifu wa kivita ya mjini The Hague leo itaanza kusikiliza rufaa ya Radovan Karadzic Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia uhalifu wa kivita ya mjini The Hague leo itaanza kusikiliza rufaa ya Radovan Karadzic Reviewed by safina radio on April 23, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.