IDARA YA TAKWIMU KENYA YAONGELEA KIWANGO CHA KUPANDA NA KUSHUKA KWA UCHUMI WA KENYA.
Idara ya takwimu ya Kenya imesema kuwa pato la taifa la
mwaka 2017 limeongezeka kwa asilimia 4.9, ambapo ni kushuka kwa asilimia moja
ikilinganishwa na mwaka 2016 huku ikiwa ni kasi ndogo zaidi ya ongezeko katika
miaka mitano iliyopita.

Ripoti iliyotolewa na idara hiyo imesema sababu kuu ya
kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi nchini Kenya kwa mwaka jana ni ukosefu wa
utulivu wa kisiasa na hali mbaya ya hewa iliyosababisha uhaba wa mazao ya
kilimo.
IDARA YA TAKWIMU KENYA YAONGELEA KIWANGO CHA KUPANDA NA KUSHUKA KWA UCHUMI WA KENYA.
Reviewed by safina radio
on
April 26, 2018
Rating:
No comments