WAKULIMA WA MANISPAA YA SONGEA MKOANI RUVUMA WAMEPATIWA MAFUNZO YA KILIMO CHA KAHAWA


Wakulima wa Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma wamepatiwa mafunzo sahihi ya kilimo cha zao la kahawa kupitia tafiti zilizofanywa na Taasisi ya Utafiti wa zao la Kahawa Tanzania TAKRI.

Image result for PICHA YA SHAMBA LA KAHAWA


Meneja wa Taasisi ya Utafiti wa zao la Kahawa Tanzania TAKRI kutoka kituo cha Ugano kilichopo wilaya ya Mbinga Bw Godbless Shao amesema kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha maafisa wa kilimo wa Manispaa hiyo kutoa elimu bora kwa wakulima.


Naye Mtaalamu wa kilimo kutoka Manispaa hiyo ya Songea Philipina Tarimo amesema kuwa elimu waliyoipata itasaidia kuinua kipato cha wakulima na kuboresha maisha yao.

WAKULIMA WA MANISPAA YA SONGEA MKOANI RUVUMA WAMEPATIWA MAFUNZO YA KILIMO CHA KAHAWA WAKULIMA WA MANISPAA YA SONGEA MKOANI RUVUMA WAMEPATIWA MAFUNZO YA KILIMO CHA KAHAWA Reviewed by safina radio on April 13, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.