WATU 36 WAHUKUMIWA ADHABU YA KIFO NCHINI MISRI
Watu sabini walikufa kutokana na shambulizi la bomu
katika kanisa kuu la ki Coptic mjini Cairo mwishoni mwa mwaka 2016, huku
makanisa ya Alexandria na Tanta yakilipuliwa siku kama hiyo mwezi wa nne mwaka
uliofuata.
Tayari kundi la wanamgambo wa kiislamu wenye msimamo
mkali wamekiri kuhusika na mashambulizi hayo matatu.
Pia wanamgambo hao wameendelea kukiri kuwa kazi yao
kubwa ilikuwa ni kuwashambulia wakristo wachache, pamoja na mamlaka ya kijeshi.
Misri inahitaji mahakama kupeleka
kesi za namna hiyo kwa Mufti mkuu nchini humo kwa kuzingatia adhabu ya kifo
kabla ya hukumu ya mwisho.
WATU 36 WAHUKUMIWA ADHABU YA KIFO NCHINI MISRI
Reviewed by safina radio
on
April 11, 2018
Rating:
No comments