TRUMP AMTUSI TENA JAMES COMEY

Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumapili alimtusi kwa mara nyingine Mkurugenzi wa zamani wa shirika la ujasusi la nchi hiyo, FBI, James Comey, ambaye katika mahojiano yaliyorushwa jioni kwenye runinga ya ABC, alisema rais wa Marekani hafai kuongoza Marekani.
Image result for PICHA YA TRUMP
RAIS WA MAREKANI DONALD TRUMP.
Mkurugenzi wa zamani wa FBI, ambaye Trump alimfukuza mnamo mwezi Mei 2017, amerejelea habari za kisiasa za Marekani tangu kuchapishwa juma lililopita, maelezo mafupi ya kitabu chake kitakachotolewa siku ya Jumapili wiki hii.
Image result for PICHA YA JAMES COMEY MKURUGENZI WA ZAMANI WA FBI
MKURUGENZI WA ZAMANI WA FBI JAMES COMEY.

Katika mahojiano ya muda mrefu na ABC yaliyorushwa Jumapili usiku, Mkurugenzi wa zamani wa FBI anasema kwamba Trump hawezi  kutekeleza majukumu yake ya urais amefanya "uharibifu mkubwa" kwa viwango vya taasisi za Marekani 
TRUMP AMTUSI TENA JAMES COMEY TRUMP AMTUSI TENA JAMES COMEY Reviewed by safina radio on April 16, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.