SILVIO BERLUSCONI APATA NAFASI YA KUUNDA SERIKALI IJAYO KWA MATOKEO YASIYO RASMI KUPITIA MUUNGANO WA VYAMA ANAVYOVIONGOZA.


ROMA.

Matokeo yasio rasmi yaliyochapishwa baada ya kufungwa kwa vituo vyote vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Italia jana Jumapili, yanaupa nafasi kubwa muungano unaoongozwa na aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Silvio Berlusconi kuunda serikali ijayo.

Waziri Mkuu wa Italia Silvio Berlusconi.
Katika Matokeo hayo yanaonyesha kuwa vuguvugu hilo limejikusanyia asilimia 31.5 ya kura zote zilizopigwa, wakati chama cha Demecratic kilichoko madarakani kikiambulia asilimia 21.

 Aidha  vyama vinavyounda muungano unaoongozwa na Berlusconi vimepata jumla ya asilimia 36; Forza Italia kimepata asilimia 16, asilimia 16 nyingine zimekiendea chama cha Ligi ya Kaskazini, nacho chama cha Ndugu wa Italia kina  asilimia 4 ya kura zote.

Hata hivyo, kwa upande wa chama kimoja kimoja, Vuguvugu la Nyota Tano (M5S) limepata kura nyingi zaidi.

SILVIO BERLUSCONI APATA NAFASI YA KUUNDA SERIKALI IJAYO KWA MATOKEO YASIYO RASMI KUPITIA MUUNGANO WA VYAMA ANAVYOVIONGOZA. SILVIO BERLUSCONI APATA NAFASI YA KUUNDA SERIKALI IJAYO KWA MATOKEO YASIYO RASMI KUPITIA MUUNGANO WA VYAMA ANAVYOVIONGOZA. Reviewed by safina radio on March 05, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.