JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA LINAWASHIKILIA WATU 6 KWA TUHUMA ZA KUINGIA NCHINI KINYUME CHA SHERIA.


Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuingia nchni kinyume na sheria wakitokea nchini Kenya kuelekea Zambia kupitia Dodoma.
Image result for PICHA YA KAMANDA WA POLISI MKOANI DODOMA GILIES MOROTO
KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA GILLES MOROTO

Akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Dodoma Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma Gilles Moroto amebainisha kuwa watu hao wamekamatwa katika basi moja linalofaya safari zake wilayani Mpwapwa kuelekea 

Dodoma Mjini baada ya kutiliwa shaka na wafanyakazi wa basi hilo.
Katika hatua nyingine Kamanda Moroto amebainisha tabia nyingine ya uwizi wa majumbani ambapo baadhi ya watu hujifanya mafundi wa vifaa vya Kieletroniki ikiwemo Komputa na baadae kuiba katika nyumba walizofanyia matengenezo ya vifaa hivyo.

JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA LINAWASHIKILIA WATU 6 KWA TUHUMA ZA KUINGIA NCHINI KINYUME CHA SHERIA. JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA LINAWASHIKILIA WATU 6 KWA TUHUMA ZA KUINGIA NCHINI KINYUME CHA SHERIA. Reviewed by safina radio on April 10, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.