KAKOBE AENDA UHAMIAJI.


Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Zakaria Kakobe amesema kuwa leo asubuhi amefika katika ofisi za Uhamiaji jijini Dar es salaam kuitikia wito wa idara hiyo uliomtaka afike kwaajili ya mahojiano.
Image result for PICHA YA ZAKARIA KAKOBE
ASKOFU ZAKARIA KAKOBE

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufanyiwa mahojiano hayo ambayo yalichukuaq muda usiopungua saa tatu amesema kuwa mbali na mahojiano hayo wamemtaka kuacha baadhi ya nyaraka zake .


Aidha duru za habari zinaeleza kuwa Kamishna wa Uhamiaji wa Dar es salaam DCI Chrispin Ngonyani wanamhoji askofu Kakobe kama raia mwingine wa Tanzania ambaye anaweza kuhojikwa kulingana na matakwa ya sheria inavyoelekeza.


KAKOBE AENDA UHAMIAJI. KAKOBE AENDA UHAMIAJI. Reviewed by safina radio on April 09, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.