NDEGE1 ILIYOZUILIWA NCHINI CANADA KUTUA LEO NCHINI.
Hatimaye Ndege iliyonunuliwa na serikali aina ya
Bombadia Q 400 ambayo ilikuwa imezuliwa nchini Canada inatarajiwa kuwasili hii
leo nchini.
Ndege hiyo ni miongoni mwa ndege zilizoagizwa kutoka
katika kampuni ya Canada ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuongeza watalii kupitia
sekta ya anga.
Taarifa ya kuwasili ndege hiyo ya taifa ilitolewa rasmi
siku ya Ijumaa iliyopita na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Graison Msigwa.
Hata hivyo kwa Kwa mujibu wa Msigwa Ndege nyingine tatu
ikiwemo ndege mbili aina ya Bombadia C 300, kutoka Canada na nyingine Boin
787-8 Dre-Liner kutoka nchini Marekani zitawasili nchini baadae mwaka huu.
NDEGE1 ILIYOZUILIWA NCHINI CANADA KUTUA LEO NCHINI.
Reviewed by safina radio
on
April 02, 2018
Rating:
No comments