RAIS WA ZAMANI WA BRAZIL LUIZ INACIO DASILVA AHUKUMIWA MIAKA 12 JELA.


Mahakama Kuu ya Brazil (STF) imemuhukumu rais wa zamani wa Brazili Luiz Inancio Lula da Silva kifungo cha miaka 12 hukumu iliyotolewa na majaji 11.

Image result for PICHA YA LUIZ INACIO LULA DASILVA RAIS WA ZAMANI WA BRAZIL
DASILVA
Mapema siku ya Jumatano Luiz Inacio Lula da Silva, mwenye umri wa miaka 72, amesema ana matumaini kwamba mahakama ya juu zaidi nchini humo itakubali hoja ya kutomuweka jela mpaka kukamilika kwa taratibu zote za kisheria ambapo mahakama ilifutilia mbali ombi hilo kwa kura sita dhidi ya tano.
Katika uchaguzi wa urais ujao wa mwezi Oktoba, kiongozi huyo wa mrengo wa kushoto alikuwa anapewa nafasi kubwa ya kushinda.
Maandamano yamefanyika katika miji mbalimbali ambapo waandamanaji katika mji wa Sao Bernardo wanataka Da silva aachiwe huru.

RAIS WA ZAMANI WA BRAZIL LUIZ INACIO DASILVA AHUKUMIWA MIAKA 12 JELA. RAIS WA ZAMANI WA BRAZIL LUIZ INACIO DASILVA AHUKUMIWA MIAKA 12 JELA. Reviewed by safina radio on April 05, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.