WATU 4 WAMEUAWA NCHINI NCHINI SYRIA KATIKA SHAMBULIO LA ANGA


Watu kumi na nne wameuawa katika shambulizi la kombora lililolenga kambi ya jeshi la anga iliyoko mkoani Homs katikati ya Syria alfajiri ya leo.
Image result for PICHA YA KOMBORA LA ANGA

Duru za habari zinaeleza kuwa shambulizi hilo lililouwa watu hao kumi na nne limewakumba na askari wa kikosi cha Iran wanaoshiriki na jeshi la serikali ya Syria.

hilo limekuja wakati jumuiya ya kimataifa ikizozana kuhusu tuhuma za jeshi la Syria kutumia silaha za kemikali katika shambulizi dhidi ya waasi katika wilaya ya Douma, eneo la Ghouta Mashariki mjini Damascus.

Hata hivyo, bado haijafahamika shambulizi hilo la leo alfajiri lilifanywa na nani, lakini vyombo vya habari vya Syria vinasema huenda shambulizi hilo limefanywa na Marekani.

WATU 4 WAMEUAWA NCHINI NCHINI SYRIA KATIKA SHAMBULIO LA ANGA WATU 4 WAMEUAWA NCHINI NCHINI SYRIA KATIKA SHAMBULIO LA ANGA Reviewed by safina radio on April 09, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.