KANE ASEMA ATASALIA TOTTENHAM

Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane amehusishwa na uhamisho wa Real Madrid lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 amesema kuwa atasalia kuichezea Tottenham kwa kuwa anasubiri kufunga mabao zaidi katika uwanja mpya wa timu hiyo. (Telegraph)
KANE ASEMA ATASALIA TOTTENHAM
Reviewed by safina radio
on
March 13, 2018
Rating:
No comments