ZAIDI YA WANAFUNZI LAKI 6 WATAKAA NYUMBANI KUTOKANA NA MGOMO UTAKAOFANYWA NA WAHADHIRI WA VYUO VIKUU NCHNI KENYA.


NAIROBI.
Wahadhiri wa Vyuo Vikuu vya umma nchini Kenya, wameanza mgomo kwa madai ya kwamba serikali imeshindwa kutekeleza mkataba wa kuwaongezea mshahara kama ilivyokubaliwa mwaka uliopita.
Chuo Kikuu cha Sheria cha Nairobi Kenya.
Constatine Wasonga, Katibu Mkuu wa muungano wa wahadhiri nchini humo UASU, amesema serikali imeshindwa kuheshimu makubaliano waliofikia na imewadharau,ambapo mgomo huo utasababisha zaidi ya wananfunzi Laki 6 kukaa nyumbani.
Hata hivyo katika miaka ya hivi karibuni Kenya ilikabiliwa na migomo ya hapa na pale, hasa katika sekta ya afya na elimu na migomo hiyo mara nyingi imekua ikisababishwa na suala la nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi katika sekta hizo.

ZAIDI YA WANAFUNZI LAKI 6 WATAKAA NYUMBANI KUTOKANA NA MGOMO UTAKAOFANYWA NA WAHADHIRI WA VYUO VIKUU NCHNI KENYA. ZAIDI YA WANAFUNZI LAKI 6 WATAKAA NYUMBANI KUTOKANA NA MGOMO UTAKAOFANYWA NA WAHADHIRI WA VYUO VIKUU NCHNI KENYA. Reviewed by safina radio on March 01, 2018 Rating: 5

No comments

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.